الرئيسية تعرف على الإسلام Elimu ya dini ndio ukombozi wetu (Kiswahili)

Elimu ya dini ndio ukombozi wetu (Kiswahili)

تشغيل
عرض المحتوى باللغة العربية

Elimu ya dini ndio ukombozi wetu (Kiswahili)

اللغة: Kiswahili
إعداد: Abubakari Shabani Rukonkwa
نبذة مختصرة:
1. Mada hii inazungumzia ubora wa masiku kumi ya dhil hija kisha ameeleza kuwa Elimu ndio kibainisho cha halali na haramu na ndio sababu ya kumuabudu Allah kwa usahihi, na mtu asie kuwa na elimu ya dini anakuwa kama mfu. 2. Mada hii inakamilisha mada iliyo pita inaelezea msiba wa kuishi mwanamume na mwanamke bila kufunga ndoa, kisha ameeleza ubora wa kutafuta elimu.