Qauli yenye faida 15 Mwongozo katika kutekeleza Ibada ya Hijja
(Kiswahili)
Lugha:Kiswahili
Maandalizi:Alrawda
Maelezo:
Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo ya tano za Uislam, pia ameeleza muda na wakati wa kuhiji, na mwongozo katika kutekeleza ibada hiyo, pia amewatahadharisha mahujaji kuingia katika shirki wakati wa kutembelea mji mtukufu wa Madina.
Share
Use the QR code to easily share the message of Islam with others